User:Rexaskingtz

From Wikipedia, the free encyclopedia

Wamenikimbiza wamenikosa ju wana hema                      (hema)

walinitupa kwenye kidu wakijua nita zama ila Mungu mkubwa nime dema (dema)

Walishoboka wakameza now wameshindwa kutema

waliwasifia madem zao wakisahau ni wagema

tembo kalitia maji sasa wamewatema

Now nipo nao magetoni narukanao tetema

sana staki kusema

kipindi naanza wengi walinitukana

Tena mpka watoto walisubutu kuniachia laana

wakisema hutofanikiwa Rama

ata ukatoe kafara ya mbuzi au ndama

Kiukweli walinisakama,waki force meli ipite sahara